Katika orodha ya wagombea wa CCM, wapo ambao wametoka katika familia za vigogo wa chama cha Mapinduzi kutoka upande wa Tanzania bara na Zanzibar, kuanzia rais wa sasa na marais wastaafu, pia wanachama wengine wa ngazi ya juu katika chama hicho.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *