Tanzania targets investors at WGC 2026
CALGARY, Canada: TANZANIA has showcased its wide-ranging energy investment opportunities to global investors at the ongoing World Geothermal Congress (WGC 2026), positioning itself as Africa’s emerging energy investment hub. Speaking…
Jezi hizi ndizo nzuri zaidi Kombe la Dunia 2026?
Kutoka Ulaya hadi Afrika, baadhi ya mataifa yamepongezwa kwa ubunifu wa hali ya juu, huku mengine yakikosolewa kwa kukosa mvuto na ubunifu unaotarajiwa kwenye mashindano makubwa kama Kombe la Dunia.
TRA announces Presidential Awards for top taxpayers heading to its Pearl Jubilee
DODOMA: THE TANZANIA Revenue Authority (TRA) is set to celebrate its 30th anniversary with a special event to be held on July 1, 2026, alongside the presentation of the Presidential…
Tanzania, Egypt deepen trade ties in tourism, investment push
CAIRO, Egypt: TANZANIA and Egypt have agreed to strengthen their economic partnership, committing to expand cooperation in trade, investment, and tourism during a high-level business forum held in Cairo. The…
Tanzania budget 2026/27: Taxes, jobs, growth in focus
DAR ES SALAAM: THE Government is set to present its 2026/27 national budget in Parliament tomorrow, where the Finance Minister, Ambassador Khamis Mussa Omar, is expected to table a fiscal…
Twiga edge Tembo in tense women’s cricket clash
DAR ES SALAAM: TWIGA produced a disciplined all-round display to defeat Tembo by eight runs in the Tanzania Women’s Cricket Premier League 2026 match played at Annadil Burhani Oval in…
TBC confirms free-to-air World Cup coverage
DODOMA: TANZANIA Broadcasting Corporation (TBC) will air 34 matches from the 2026 FIFA World Cup after securing official rights to broadcast selected fixtures of the tournament, giving Tanzanians free access…
East Africa takes centre stage at World Cup concert
TANZANIAN artist, Raymond Mwakyusa, alias Rayvanny and Ugandan dance group Ghetto Kids will represent East Africa on the global stage at the FIFA World Cup 2026 events in Toronto, Canada.…
Ibenge eyes strong league finish
DAR ES SALAAM: AZAM FC Head Coach Florent Ibenge has said his side is fully focused on securing a strong finish to the Mainland Premier League season, stressing all matches…
BoT digitises forex matching system
DAR ES SALAAM: THE Bank of Tanzania (BoT) yesterday introduced an Electronic Matching System (EMS) for the Interbank Foreign Exchange Market (IFEM), marking a significant step towards enhancing transparency and…
Research seen as key to turning mineral wealth into growth
DAR ES SALAAM: TANZANIA is seeking to extract greater economic value from its vast mineral resources by linking research and innovation more closely with industrial development, renewable energy and the…
Spika wa Bunge la Iran: Ukikiuka majukumu yako, tutatumia lugha tunayoijua vyema
Akijibu uchokozi na ukiukwaji wa mapigano uliofanywa na Marekani, Spika wa Bunge la Iran amesisitiza kuwa: "Ukivunja ahadi na majukumu yako, tutatumia lugha tunayoijua vyema."
Iran yakosoa ‘onyesho lingine la unafiki’ UN huku igizo la vikwazo vya Marekani likigonga mwamba
Ujumbe wa Iran katika Umoja wa Mataifa umepuuzilia mbali mkutano wa Baraza la Usalama la umoja huo ulioitishwa kuhusu mpango wa nyuklia wa Iran ukiutaja kuwa ni "onyesho lingine la…
Chalamila atembelea kituo cha TFF Kigamboni
DAR ES SALAAM: MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amesema ujenzi wa kituo Uwanja Cha Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) Kigamboni uwekezaji mkubwa unaochochea maendeleo ya uchumi…
“Walifagia kila Kitu!” Shiquo wa Hii Style Adai Duka Lake Lilivamiwa Kufuatia madai ya Bidhaa Feki
Mfanyabiashara Shiquo Wa Hii Style anadai kuwa duka lake la viatu katika RNG Plaza, lilivamiwa na wakachukua bidhaa zenye thamani ya mamilioni zinazodaiwa kuwa feki
Wanawake wanavyojishindia mamilioni kupitia SportPesa
SportPesa Tanzania inasherehekea mafanikio makubwa baada ya wanawake wawili kutoka mazingira tofouti kushinda jumla ya Sh 857 milioni, jambo linaloonyesha kukua kwa ushiriki wa kinamama katika michezo ya kubahatisha nchini.
EXCLUSIVE INTERVIEW PART 2 || Magori afunguka mazito Msimbazi
Elvis Rupia anukia Ligi Kuu Kenya MSHAMBULIAJI mahiri wa Singida Black Stars, Mkenya Elvis Rupia yuko katika mazungumzo ya kurejea katika timu ya Kenya Police FC ya kwao Kenya aliyowahi…
“Alisaidia Kidogo”: Baba Aliyepoteza Mtoto Wake Utumishi Girls’ Amfedhehesha Sonko
Zuhura Rama alizikwa kwao Kwale. Babake alimsifu mbunge wa Msambweni Feisal Abdallah kwa kulipia gharama za mazishi na kukosoa uungwaji mkono mdogo wa Mike Sonko.
Ukweli wa Kuduwaza Kuhusu Mishahara ya Wajakazi wa Afrika na Wale wa Mashariki ya Kati
Kenya imepandisha mshahara wa wafanyakazi wa nyumbani hadi KSh 18,047. Je, ni kiasi gani ukilinganisha na Uganda, Tanzania, Afrika Kusini na Mashariki ya Kati?
Wolper anavyotumia mwonekano kuficha maumivu
Msanii wa filamu na mfanyabiashara Jackline Wolper, amesema watu wengi hujikuta wakihukumiwa...
Parliament hails Samia as BMH expands specialist care
DODOMA: THE Parliamentary Standing Committee on Health and HIV/AIDS has praised President Dr Samia Suluhu Hassan for what it described as transformative progress in Tanzania’s health sector, particularly at Benjamin…
Pentagon yajitetea baada ya mashambulizi mawili mfululizo dhidi ya Iran
Kulingana na kamandi ya jeshi la Marekani, mashambulizi haya yaelenga ulinzi wa anga wa Iran, vituo vya udhibiti, na mitambo ya rada karibu na Mlango-Bahari wa Hormuz. Imechapishwa: 10/06/2026 –…
Magazeti ya Kenya, Juni 10: Njaa kati ya sababu kuu zinazochochea machafuko shuleni
Shule za Kenya zinakumbwa na mgogoro wa msongamano wa wanafunzi, vurugu na shinikizo la mitihani ambazo zinasababisha rasilimali duni na mawasiliano kuvunjika.
Tehran yazitaka nchi za Ghuba kuzuia mashambulizi ya Marekani dhidi ya Iran
Tehran imesema leo Jumatano kwamba nchi za Ghuba zina “jukumu la kisheria na kimaadili” la kusitisha mashambulizi ya Marekani yaliyoanzishwa dhidi ya Iran kutoka maeneo yao, na kuhalalisha mashambulizi zaidi…
Vita vya Mashariki ya Kati: Jeshi la Jordan lasema limeangusha makombora matano ya Iran
Jeshi la Jordan limesema leo Jumatano asubuhi kwamba limeharibu makombora matano ya Iran yaliyolenga Azraq, ambapo kambi ya Marekani inapatikana. Imechapishwa: 10/06/2026 – 07:40 Dakika 1 Wakati wa kusoma Matangazo…
Dereva wa trela amnyima lifti ajuza katika barabara kuu ya Mombasa–Nairobi usiku
Video ya ajuza akitembea peke yake usiku katika Barabara Kuu ya Mombasa–Nairobi imeibua wasiwasi wa kiusalama, huku wanamitandao wakijadili hali yake na nia yake.
Singapore President urges Africa to invest in inclusive growth
DAR ES SALAAM: AFRICAN countries can turn today’s economic and technological challenges into opportunities for long-term prosperity by investing in education, innovation, and strong institutions, Singapore President Tharman Shanmugaratnam has…
Pakistan: Migomo na maandamano yazuka baada ya daktari wa kike kushambuliwa kwa tindikali
Shambulio la tindikali kwa daktari wa kike huko Balochistan, kusini-magharibi mwa Pakistani, limesababisha migomo na maandamano wiki hii na kusababisha mtafaruku katika sekta ya matibabu, ambapo wanawake wengi wanadai usalama…
Afrika Kusini: Maandamano dhidi ya wahamiaji yanaendelea licha ya ahadi za rais
Mamia ya waandamanaji dhidi ya uhamiaji haramu wameandamana Jumatatu, Juni 8, katika mji mmoja karibu na Johannesburg, Afrika Kusini, siku moja baada ya Rais Cyril Ramaphosa kuahidi kuchukua hatua dhidi…
Vita vya urais 2027 vyazidi kuwa moto: Gachagua aapa hang’atuki kwenye kinyang’anyiro
Aliyekuwa naibu wa rais Rigathi Gachagua anasema bado anastahili kuwania urais 2027 licha ya kuondolewa madarakani na anapanga kukata rufaa dhidi ya uamuzi huo.
Zaidi ya wahamiaji 1,000 waokolewa pwani ya Mauritania ndani ya siku kumi
Wakati walinzi wa pwani wa Mauritania wakiripoti ongezeko kubwa la watu wanaojaribu kuvuka hadi Visiwa vya Canary tangu mwisho wa mwezi Mei, boti zilizozuiliwa ziliondoka kutoka nchi zilizo mbali zaidi…
Taifa la Ghuba lapiga marufuku kuajiri wafanyakazi wa ndani kutoka Kenya, nchi nyingine 25 za Afrika
Wizara ya Mambo ya Ndani ya Kuwait imeamua kuajiri wafanyakazi wa ndani kutoka nchi 10, na kupiga marufuku 27 ikiwemo Kenya. Hii inaathiri Wakenya wanaotafuta ajira.
Ufahamu ugonjwa wa akili unaoweza kusababishwa na bangi
Dar es Salaam. Schizophrenia ni ugonjwa sugu wa muda mrefu unaoathiri afya ya akili ya...
Seneti yapapatika, yasema haitafuata agizo la mahakama impe Gachagua fidia ya KSh 50M
Mahakama Kuu Yaamua Seneti Ilikiuka Haki ya Rigathi Gachagua ya Kusikilizwa kwa Haki Wakati wa Kumshtaki 2024, Kwa Kumpa KSh 50 milioni; Seneti Yapanga Kukata Rufaa.
IRGC yashambulia kwa makombora kituo cha anga cha jeshi la Marekani na kituo cha udhibiti huko Al-Arzaq, Jordan
Maeneo manne muhimu katika kambi ya anga na kituo cha amri na udhibiti cha jeshi la mauaji ya watoto la Marekani huko Al-Azraq, Jordan yameshambuliwa usiku wa kuamkia leo kwa…
IRGC yashambuliwa kwa makombora kituo cha anga cha jeshi la Marekani na kituo cha udhibiti huko Al-Arzaq, Jordan
Maeneo manne muhimu katika kambi ya anga na kituo cha amri na udhibiti cha jeshi la mauaji ya watoto la Marekani huko Al-Azraq, Jordan yameshambuliwa usiku wa kuamkia leo kwa…
Iran yaiomba FIFA kuruhusu vitambaa vyeusi vya mkononi katika mechi na Misri sambamba na Ashura
Shirikisho la Soka la Iran limeomba rasmi ruhusa ya FIFA kwa wachezaji wa timu yake ya taifa kuvaa vitambaa vyeusi mikononi wakati wa mechi yao ijayo ya Kombe la Dunia…
HRW: Rwanda na M23 zinawaajiri watu kwa lazima kwenye vikosi vyao
Shirika la kimataifa la haki za binadamu la Human Rights Watch inawashutumu waasi wa M23 na jeshi la Rwanda kwa kulazimisha watu wengi kuajiriwa jeshini, kunyongwa, na vifo katika kambi…
DRC: HRW yaishutumu Rwanda na AFC/M23 kwa unyanyasaji mwingi katika kambi mbili Kivu Kaskazini
Katika ripoti iliyochapishwa leo Jumatano, Juni 10, shirika la kimataifa la Haki za Binadamu la Human Right Watch linabaini kwamba Kigali na kundi AFC/M23 wamejihusisha na vitendo vilivyoainishwa kama uhalifu…
Hamas yaonya kuhusu ongezeko la ubomoaji wa majengo Ukingo wa Magharibi, yataka hatua za kimataifa zichukuliwe dhidi ya Israel
Harakati ya Hamas imeonya kuhusu ongezeko la shughuli za ubomoaji wa nyumba na majengo ya Wapalestina unaofanywa na Israel katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu, ikiwa ni pamoja na…
Mashambulizi kati ya Marekani na Iran yashika kasi baada ya helikopta ya doria ya Marekani kudunguliwa kwenye Mlango bahari wa Hormuz
Marekani na Iran zimeshambuliana baada ya Marekani kutishia kulipiza kisasi kufuatia kudunguliwa kwa helikopta ya kijeshi ya Marekani juu ya Mlango wa Hormuz siku ya Jumatatu.
Shughuli ya kumuaga Imam Khamenei kufanyika baada ya siku kumi za kwanza za Muharram
Makao makuu ya taasisi yanayosimamia shughuli za kumuenzi shahidi Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, yametangaza kuwa shughuli ya kumuaga na mazishi ya Shahidi huyo yatafanyika baada…
Aliyekuwa wakili wa Ruto ICC Karim Khan asimamishwa kazi kwa madai ya utovu wa nidhamu wa kingono
Mwendesha mashtaka wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai, Karim Khan amesimamishwa kazi kufuatia madai ya unyanyasaji wa kingono. anasubiri kujua hatma yake.
Uganda: Kizza Besigye apinga kuwekwa kizuizini katika kesi ya uhaini inayomkabili
Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye, amewasilisha ombi mahakamani akitaka kutolewe uamuzi wa kusimamisha kuendelea kushikiliwa kizuizini na kufunguliwa mashtaka.
Spika wa Bunge la Lebanon ataka kuondoka Israel nchini humo huku Hizbullah ikifichua madai ya uwongo ya Trump
Spika wa Bunge la Lebanon amesema kuwa nchi hiyo haitakubali chochote isipokuwa usitishaji vita kamili na usio na masharti kwa upande wa ardhini, anga na baharini, na kusisitiza msimamo thabiti…
Kenya: Mtu mmoja auawa katika maandamano ya kupinga kituo cha Ebola
Nchini Kenya, mtu mmoja ameuawa baada ya kupigwa risasi na polisi, wakati wa maandamano yaliyofanyika siku ya Jumanne katika mji wa Nanyuki, baada ya wenyeji kujitokeza kupinga kujengwa kwa kituo…
Marekani yatekeleza mashambulio Iran baada ya helikopta yake kuangushwa
Wanajeshi wa Marekani wametekeleza mashambulio nchini Iran, baada ya rais Donald Trump kuishtumu nchi hiyo kwa kuiangusha helikopta ya kivita ya Marekani, iliyokuwa inapaa juu ya angaa katika eneo la…