Trump ‘asitisha’ mashambulizi dhidi ya Iran, Tehran ikisema mazungumzo yake na Muscat ‘yana tija’
Ripoti zinaonyesha kuwa maafisa wa Marekani wameelezea wasiwasi wao kuhusu kupungua kwa akiba ya makombora ya Patriot.
Mauki: Haiba yako inavyoweza kukupa uhusiano bora
Watu wengi hujiuliza jinsi ya kuwa na ufanisi zaidi katika kazi na maisha kwa ujumla. Wengine...
Neno ‘Hu izi Diamond’ lilifia hapa
Katika makazi yake Sinza ile ya Vatcan. Kwenye uchochoro yalipo makazi yake. Halikuwa eneo bora...
Jenerali Kainerugaba ziarani Rwanda kwa mazungumzo ya nchi mbili
Mkuu wa Jeshi la Uganda (UPDF), Jenerali Muhoozi Kainerugaba, yuko Kigali kwa ziara rasmi ya kikazi na anatarajia kukutana na rais wa Rwanda Paul Kagame. Imechapishwa: 26/07/2026 – 08:44 Dakika…
Tetrachromacy: Uwezo nadra wa kuona rangi nyingi kuliko za kawaida
Antico anasema anaona "rangi nyingi" katika matukio ya kila siku, kama vile vivuli, wakati watu wengi wanatambua wigo wa rangi moja pekee.
DRC: Idadi ya visa vya Ebola vilivyothibitishwa inazidi 3,000
Idadi ya visa vya Ebola vilivyothibitishwa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imeongezeka hadi 3,075, ikiwa ni pamoja na vifo 1,354, kulingana na data za serikali siku ya Jumamosi. Imechapishwa:…
Angalau raia 32 wameuawa katika saa 72 katika mashambulizi yaliyohusishwa na ADF Mambasa
Hali ya usalama inaendelea kuzorota katika eneo la Mambasa katika mkoa wa Ituri, ambapo angalau raia 32 wameuawa na wengine kadhaa kutekwa nyara katika saa 72 zilizopita wakati wa mashambulizi…
Afrika Kusini: Rais Ramaphosa apata afueni ya muda katika kashfa ya ‘Farmgate’
Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa amepata afueni kidogo katika kashfa inayomkabili. Mkuu wa nchi ameanzisha taratibu za kuzuia kamati ya mashtaka kuanzisha mashauriano yake ya umma. Kwa hivyo, amri…
DRC: Utafiti unaangazia maeneo yenye hatari ya kukumbwa na mlipukowa Ebola siku zijazo
Je, kuenea kwa virusi vya Ebola kunaweza kutabiriwa? Hili ndilo lengo la utafiti uliochapishwa wiki hii ili kutengeneza mfumo wa kutabiri maeneo yanayofuata yatakayoathiriwa na mlipuko huo unaoendelea kwa sasa…
Tetesi za Soka Ulaya Jumapili: Arsenal inatathmini uwezekano wa kumsajili Vinicius Jr
Arsenal inafikiria kumsajili Vinicius Jr, Inter Milan inamtaka Cristian Romero na ofa ya Real Madrid kwa ajili ya Yan Diomande yakataliwa.
Senegal: Rais Diomaye Faye awasilisha chama chake kipya, “Kiiraay: Republican Patriots”
“Kiiraay: Republican Patriots” ni jina la chama kipya cha siasa kilichotangazwa na Rais wa Jamhuri ya Senegal. Bassirou Diomaye Faye anafungua ukurasa mpya na kuondoja chama cha “PASTEF: The Patriots,”…
Mali: Baada ya jeshi la Mali kushindwa na JNIM, wakazi wa Kouakourou wahama makazi yao
Nchini Mali, wakazi 5,000 wa Kouakourou, katika wilaya ya Djenné katikati mwa Mali, wote wametoroka kijiji chao. Kufuatia shambulio la wanajihadi wa JNIM, kundi linalohusishwa na Al Qaeda, mwishoni mwa…
Kwa nini saa moja ina dakika 60, na kwa nini juhudi za kuibadilisha kuwa na dakika 100 hazikufaulu?
Waliamua kwamba siku sasa ingegawanywa katika saa 10, na si tena kuwa 24. Kila saa ingejumuisha dakika 100 za desimali, kila moja ikiwa na sekunde 100 za desimali.
Araqchi alaani vikali shambulio la Ukraine dhidi ya meli ya biashara ya Iran Bahari ya Caspian
Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, amelaani vikali shambulio la kijeshi lililofanywa na utawala wa Ukraine dhidi ya meli ya biashara ya Iran katika Bahari…
Iran: Mashambulizi yataendelea hadi adui atakapojisalimisha kikamilifu
Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran, Mohammad Baqer Zolghadr amesema mashambulizi ya vikosi vya jeshi la Iran yataendelea hadi adui atakapojisalimisha kikamilifu na hadi kulipiza kisasi…
Malaysia yasisitiza msimamo wake wa kuendelea kuwafukuza Waisraeli
Waziri wa Ulinzi wa Malaysia, Mohamed Khaled Nordin, amesisitiza kuwa serikali ya nchi hiyo itaendelea kuwafukuza raia wa Israel kutoka katika ardhi ya Malaysia, akieleza kuwa hatua hiyo ni sehemu…
Francesca Albanese atoa wito wa kuwekewa vikwazo vya silaha utawala wa Kizayuni
Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa kuhusu Haki za Binadamu katika Ardhi za Palestina Zinazokaliwa kwa Mabavu, Francesca Albanese, ameyataja mashambulizi ya utawala wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina katika Ukingo…
Zaidi ya wanamichezo 1,000 wa Kipalestina wameuawa shahidi na Israel
Shirikisho la Soka la Palestina limetangaza kuwa wanamichezo 1,013 wa Kipalestina wameuawa shahidi tangu kuanza vita dhidi ya Ukanda wa Gaza mwezi Oktoba 2023, kutokana na mashambulizi ya utawala wa…
Jumapili, 26 Julai, 2026
Leo ni Jumapili 11 Mfunguo Tano Safar 1448 Hijria mwafaka na 26 Julai 2026 Miladia.
‘Honouring our heroes’
DODOMA: MILITARY bugles echoed across the Heroes’ Grounds at Mtumba, Dodoma, yesterday as President Samia Suluhu Hassan, Commander-in-Chief of the Armed Forces, led the nation in paying tribute to men…
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Julai 26, 2026
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa... The post Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo…
#KagameCup2026 ‘Nyau-Nyau’
#KagameCup2026 ‘Nyau-Nyau’. Je, wewe umeona nini? FT: Simba SC 0-0 Mogadishu City Kesho Julai 26 ni Al Hilal vs Tusker FC na Rayon Sports vs KVZ FC LIVE #AzamSports1HD #CECAFAKagameCup…
Kiongozi Mkuu wa Jumuiya ya Kiislamu ya Ahmadiyya duniani Hazrat Mirza Masroo Ahmad, amewataka Waumini wa Jumuiya hiyo kuuishi U…
Kiongozi Mkuu wa Jumuiya ya Kiislamu ya Ahmadiyya duniani Hazrat Mirza Masroo Ahmad, amewataka Waumini wa Jumuiya hiyo kuuishi Uislamu kwa vitendo kwa kujawa na hofu ya Mungu kwa imani…
TAIFA CUP 2026 | Ni mapumziko..!
TAIFA CUP 2026 | Ni mapumziko..! Q2: Mwanza 30-38 Pwani Ni hapa Chinangali Park, Dodoma. Tuko LIVE kupitia #AzamSports3HD 📸 Rajj Msangi #TaifaCup2026 #TBF #Azamtvsports (Feed generated with FetchRSS)
#KagameCup2026 Dakika nne za fidia…!!!
#KagameCup2026 Dakika nne za fidia…!!! Je, kuna lolote? 90’: Simba SC 0-0 Mogadishu City LIVE #AzamSports1HD #CECAFAKagameCup #CECAFAKagameCup2026 #KombeLakagame #SimbaSC #MogadishuCity #SimbaMogadishu (Feed generated with FetchRSS)
TAIFA CUP 2026 | Pwani wako mbele..!
TAIFA CUP 2026 | Pwani wako mbele..! Q1: Mwanza 13-20 Pwani Ni hapa Chinangali Park, Dodoma. Tuko LIVE kupitia #AzamSports3HD 📸 Rajj Msangi #TaifaCup2026 #TBF #Azamtvsports (Feed generated with FetchRSS)
#KagameCup2026 Ni dakika ya 55
#KagameCup2026 Ni dakika ya 55... mambo bado. Simba SC 0-0 Mogadishu City LIVE #AzamSports1HD #CECAFAKagameCup #CECAFAKagameCup2026 #KombeLakagame #SimbaSC #MogadishuCity #SimbaMogadishu (Feed generated with FetchRSS)
Simulizi mwananchi aliyebuni jiko linalotumia oili chafu
Shughuli zake anazifanyia eneo lililo hatua kadhaa kutoka Barabara Kuu ya Tanzania-Zambia...
Chanjo, uchunguzi wa homa ya ini kutolewa bure Muhimbili
Wananchi watapata fursa ya kupata chanjo ya homa ya ini, kupimwa, kuchunguzwa na kuanza...
Mchengerwa awataka viongozi kushuka kwa wananchi kutatua kero
Mchengerwa ametoa kauli hiyo leo Jumamosi, Julai 25, 2026 wakati akizungumza na viongozi wa...
Kusambaa mashambulizi ya Iran kwazua hofu Mashariki ya Kati
Mashambulizi ya Iran yamefika Jordan, Bahrain, Kuwait na Qatar, huku wanajeshi kadhaa wa...
Abdulmajid Mangalo atimkia Mashujaa
ALIYEKUWA beki wa kati wa Pamba Jiji, Abdulmajid Mangalo amekamilisha usajili wake Mashujaa FC kwa mkataba wa miaka miwili, akienda kuchukua nafasi iliyoachwa wazi na Mo-hamed Mussa aliyejiunga na Yanga.
Mohamed Muya aachiwa msala KMC
UONGOZI wa KMC FC, umefikia makubaliano ya kumwajiri aliyekuwa Kocha Mkuu wa Fountain Gate, Geita Gold na Coastal Union, Mohamed Muya ili kukiongoza kikosi hicho cha Kinondoni, Dar es Salaam…
Mayele asaini miwili TRA United
ALIYEKUWA mshambuliaji wa Mtibwa Sugar, Kassim Shaibu ‘Mayele’ amekamilisha usajili wake wa kujiunga na TRA United kwa mkataba wa miaka miwili, baada ya mabosi wa kikosi hicho kuvutiwa na kiwango…
Polisi yaonya watoto chini ya miaka 12 kupandishwa bodaboda
Katika semina hiyo, washiriki wamekabidhiwa vifaa vya kujikinga wakiwa barabarani, sambamba na...
Mtibwa Sugar yaachana na Chippo
UONGOZI wa Mtibwa Sugar umefikia makubaliano ya kutoendelea na aliyekuwa kocha mkuu wa kikosi hicho, Mkenya Yusuf Chippo baada ya kuishuhudia timu hiyo ikishuka daraja kutoka Ligi Kuu Bara hadi…
Kagera Sugar yapata straika mpya
Kagera Sugar imekamilisha usajili wa aliyekuwa mshambuliaji wa maafande wa Polisi Tanzania, Naku James Kazimoto kwa mkataba wa miaka miwili, baada ya kushindwa kufikia makubaliano na waajiri wake ya kuongeza…
Tiseza yahamasisha wawekezaji Rungwe
MBEYA: Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalum ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA) imewahimiza wawekezaji kutumia fursa zilizopo Wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya, ikisema eneo hilo lina uwezo mkubwa wa kuendeleza viwanda…
Historic offshore bond listing signals growing global investor confidence in Tanzania
LONDON: TANZANIA has reached a significant milestone in its financial and investment journey following the successful listing of its first offshore Tanzanian Shilling-denominated bond at the London Stock Exchange. The…
Sirro atoa neno kwa washiriki wa Nane Nane
Maonesho ya Nane Nane mwaka huu ni ya 15 na yamebeba kaulimbiu isemayo, "Tambua Soko, Ongeza...
Mfumo wa kidijitali kufungua masoko ya mikunde
Wakulima wa mazao ya jamii ya mikunde nchini wanatarajiwa kunufaika na mfumo mpya wa kidijitali...
Mkuu wa mashtaka ICC ang’olewa akituhumiwa utovu wa maadili
Uamuzi huo ulipitishwa Ijumaa, Julai 24, 2026, katika kikao maalumu cha Assembly of States...