Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu ahimiza kulinda ‘neema kubwa’ ya umoja wa kitaifa
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema Marekani na Israel, ambazo zimeshindwa katika uvamizi wao wa kijeshi dhidi ya Iran, zinapanga njama ya kupandikiza mzozo na fitina ndani ya Iran.