Tunachokifahamu kuhusu Rais wa zamani wa Korea Kusini aliyehukumiwa kifungo cha maisha
Waendesha mashitaka pia walidai kuwa Yoon alijaribu kuichokoza Korea Kaskazini kwa kutekeleza shambulio kusini mwa taifa hilo ili kutetea hatua yake ya kuidhinisha sheria ya kijeshi.
Said ashindwa kueleza alikuwa na nani π Hafsa amemwambia ukweli Mwana kuhusu mumewe na anamuhakikishia Zuh yeye ndiye atabaki kw…
Said ashindwa kueleza alikuwa na nani π Hafsa amemwambia ukweli Mwana kuhusu mumewe na anamuhakikishia Zuh yeye ndiye atabaki kwenye ndoa. Mike amvunjia heshima Wendy wakati ambao Tony anaingia ofisini…
Tukilala tunanyeshewa na kulowa kama kuku- Maisha ya wakimbizi wa DRC nchini Burundi
Wakimbizi wamekataa kurejea nchini DRC, kwasababu hawaamini kuwa amani ipo au itarajea tena kutokana na mapigano yanayoshuhudiwa mara kwa mara.
Mwandishi wa NY Times: Netanyahu anamtumia vibaya Trump kwa ajili ya vita na Iran
Mwandishi maarufu wa gazeti la Marekani la New York Times, Thomas Friedman, ameonya kwamba waziri mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu anamhadaa Rais wa Marekani, Donald Trump, na makundi ya jamii…
Ripota wa UN kuhusu Palestina asema, licha ya kuandamwa hatasalimu amri, hatajiuzulu
Francesca Albanese, ripota maalumu wa Umoja wa Mataifa wa maeneo ya Palestina yanayokaliwa kwa mabavu, amesema hatajiuzulu wadhifa wake huo licha ya mashinikizo yanayotolewa dhidi yake na serikali za nchi…
Al-Burhan: Hakutakuwa na suluhu Sudan mpaka RSF iondoke kwenye maeneo yote inayoyakalia
Mkuu wa Baraza la Utawala la Sudan, Abdel Fattah al-Burhan, amesema hakutakuwa na usitishaji mapigano mpaka pale Vikosi vya Usaidizi wa Haraka (RSF) vitakapojiondoa kwenye kile alichokieleza kuwa ni maeneo…
Mashabiki 18 wa Senegal wahukumiwa vifungo jela Morocco kwa yaliyojiri kwenye fainali ya AFCON
Mahakama ya Morocco imewahukumu mashabiki 19 wa soka kifungo cha mwaka mmoja jela kwa vitendo vya kihuni walivyovionesha wakati wa mchezo wa fainali ya AFCON 2025 kati ya Morocco na…
Russia yasisitizia uungaji mkono wake kwa haki za kisheria za Iran katika mazungumzo ya nyuklia
Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia imetangaza kuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo Sergey Lavrov amesema Moscow inaunga mkono kufikiwa suluhisho la kisiasa na kidiplomasia litakaloheshimu…
Kupinga Wabunge wa Marekani sera za Trump za kupiga ngoma ya vita dhidi ya Iran
Wimbi la upinzani limeibuka miongoni mwa Wabunge wa Marekani dhidi ya sera za Rais Donald Trump zinazochochea vita dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Jumamosi, 21 Februari, 2026
Leo ni Jumamosi 3 Ramadhani 1447 Hijria ambayo inasadifiana na 21 Februari 2026 Miladia.
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Feb 21, 2025
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers... The post Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania…
Wanajichanganya wenyewe, ila Sofia na Ulugan haziiivi kabisa
Wanajichanganya wenyewe, ila Sofia na Ulugan haziiivi kabisa (Feed generated with FetchRSS)
Nguvu ya Zora π
Nguvu ya Zora π (Feed generated with FetchRSS)
Oryx Gas waja na Pishi la Kibabe Kwaresma, Ramadhan
DAR ES SALAAM; IKIWA ni muendelezo wa kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia, Kampuni ya Oryx Gas imezindua kampeni ya msimu wa mwezi wa Ramadhan na Kwaresma inayoitwa Pishi…
Dodoma yachechemea uandikishaji bima ya afya kwa wote
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule amesema kuwa hajaridhishwa na uandikishwaji wa watu...
Video yamnasa lofa akiwika ‘wantam’ huku Ruto akiwapungia mkono wananchi katika msafara
Video ya mlofa mmoja wa Nairobi akipiga mayowe ya "wantam" katika msafara wa Rais Ruto yapepea, na kuibua vicheko na hisia kutoka kwa Wakenya wengi wakimuunga mkono.
Madawati ya kupinga ukatili dhidi ya wanawake na watoto yaanzishwa
Serikali kupitia mpango mkakati wa kupambana na ukatili wa kijinsia dhidi ya watoto na wanawake...
Dk Mwigulu awapiga kijembe Vunjo
Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba amewataka wananchi wa Jimbo la Vunjo, mkoani Kilimanjaro kuacha...
Tanzania,Β IndiaΒ to strengthen cooperation in defence, security
Dar es Salaam: Tanzania and India have discussed ways to further strengthen cooperation in various strategic areas, including defence and security. The discussions took place during a meeting between Vice…
CUF yafungua pazia uchukuaji, urejeshaji fomu nafasi ya mwenyekiti
Ni mwendo wa zimamoto. Hatimaye dirisha la uchukuaji na urejeshaji fomu limefunguliwa kwa...
Wakazi mbalimbali wa Pugu wameelezea namna walivyoguswa na msiba wa Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo, Askofu Mstaafu wa Jimbo K…
Wakazi mbalimbali wa Pugu wameelezea namna walivyoguswa na msiba wa Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo, Askofu Mstaafu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, kilichotokea usiku wa tarehe 19 Februari…
kuadhimisha siku ya kiamataifa ya haki za kijamii, huku serikali ikiwahimiza wananchi kuzitumia haki hizo na kutakiwa kutunza mi…
kuadhimisha siku ya kiamataifa ya haki za kijamii, huku serikali ikiwahimiza wananchi kuzitumia haki hizo na kutakiwa kutunza miundombinu inayowezesha kupatikana kwa haki za kijamii. #kilichoborakabisa (Feed generated with FetchRSS)
#HABARI: Mvua iliyonyesha kwa muda mfupi katika baadhi ya maeneo jijini Dar es Salaam imesababisha adha kubwa kwa watumiaji wa b…
#HABARI: Mvua iliyonyesha kwa muda mfupi katika baadhi ya maeneo jijini Dar es Salaam imesababisha adha kubwa kwa watumiaji wa barabara ya Mandela, hususan katika eneo la Sokota. Maji mengi…
Waziri wa Maji, Mhe
Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso (Mb) amemuhakikishia Waziri Mkuu, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba (Mb) kuwa Wizara ya Maji haitakuwa kikwazo katika utekelezaji wa Mradi wa Maji kwa kutumia chanzo…
Shahidi mfuasi wa Lissu adai kutishiwa, Lissu amtaka awapelekee Polisi ujumbe
Shahidi wa 14 katika kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na...
Dk Nchimbi aenda kuhani msiba wa Kardinali Pengo
Makamu wa Rais, Dk Emmanuel Nchimbi ametembelea msibani kwa Askofu Mkuu mstaafu wa Kanisa...
Askofu wa Kanisa la Ufunuo Tanzania, Paul Bendera ametoa ufafanuzi kuhusu umuhimu wa fungu la kumi kwa waumini, akisisitiza kuwa…
Askofu wa Kanisa la Ufunuo Tanzania, Paul Bendera ametoa ufafanuzi kuhusu umuhimu wa fungu la kumi kwa waumini, akisisitiza kuwa sadaka hiyo ya kiimani haipaswi kuhusishwa na fedha za mikopo.…
#KIPIMAJOTO: MIRADI YA MAENDELEO ILIYOKWAMA KWENYE HALMASHAURI KUSUBIRI VIONGOZI WA KITAIFA KUIKWAMU, JE, VIONGOZI KWENYE NGAZI …
#KIPIMAJOTO: MIRADI YA MAENDELEO ILIYOKWAMA KWENYE HALMASHAURI KUSUBIRI VIONGOZI WA KITAIFA KUIKWAMU, JE, VIONGOZI KWENYE NGAZI HIYO WANATOSHA?
Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umemtambulisha rasmi mkandarasi atakayetekeleza mradi wa kusambaza umeme katika vitongoji 474 v…
Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umemtambulisha rasmi mkandarasi atakayetekeleza mradi wa kusambaza umeme katika vitongoji 474 vya Mkoa wa Kagera, ambapo utekelezaji wake unatarajiwa kuanza Februari 2026 hadi Februari 2029.…
π΄TAARIFA YA HABARI USIKU FEBRUARI 20, 2026 -MWILI WA KARDINALI PENGO KUZIKWA PUGU, DAR ES ALAAM
π΄TAARIFA YA HABARI USIKU FEBRUARI 20, 2026 -MWILI WA KARDINALI PENGO KUZIKWA PUGU, DAR ES ALAAM
Mjane wa mfanyabiashara wa madini aliyeuawa kikatili Arusha afunguka mazito mumewe akizikwa
Hatimaye mwili wa mfanyabiashara maarufu wa madini jijini Arusha, Abdilah Mussa maarufu kama...
β#HABARI: Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais β Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete, amesema Serikali i…
β#HABARI: Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais β Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete, amesema Serikali itaendelea kushirikiana kwa karibu na wananchi katika utoaji wa fursa…
Tanzania sasa ina uwezo wa kuzalisha jumla ya megawati 4,400 za umeme, huku matumizi ya sasa yakiwa megawati 2,071, hali inayoto…
Tanzania sasa ina uwezo wa kuzalisha jumla ya megawati 4,400 za umeme, huku matumizi ya sasa yakiwa megawati 2,071, hali inayotoa ziada ya umeme inayoweza kuimarisha sekta ya viwanda na…
James Orengo Aonya Dhidi ya Kusambaratisha Mkutano wa Linda Mwananchi Huko Kakamega: “Ni Tsunami”
Gavana Orengo aonya dhidi ya njama za kutatiza mkutano wa Linda Mwananchi Kakamega akithibitisha kujitolea kwa urithi wa Raila na utekelezaji wa ripoti ya NADCO
Kihenzile akoshwa maendeleo miradi Kigoma
KIGOMA: NAIBU Waziri wa Uchukuzi, David Kihenzile, amesema maendeleo ya mradi wa ukarabati wa Meli ya MV Liemba mkoani Kigoma yanaridhisha na utekelezaji wake umefikia zaidi ya asilimia 55. Kihenzile…
Watuhumiwa saba wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro wakikabiliwa na mashtaka ya kujihusisha na daw…
Watuhumiwa saba wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro wakikabiliwa na mashtaka ya kujihusisha na dawa za kulevya aina ya mirungi. Kwa mujibu wa taarifa za mahakama, kesi…
Jeshi la Polisi mkoani Arusha linaendelea na uchunguzi kuhusu kifo cha Abdilah Musa maarufu kwa jina la Banjo, kilichotokea Wila…
Jeshi la Polisi mkoani Arusha linaendelea na uchunguzi kuhusu kifo cha Abdilah Musa maarufu kwa jina la Banjo, kilichotokea Wilaya ya Kondoa mkoani Dodoma. Kamanda wa Polisi mkoani humo, SACP…
Wanandoa washerehekea baraka ya kifungua mimba wao baada ya kujaribu kwa miaka 20: “Asante milele”
Efe Efeturi alishiriki furaha yake mtandaoni alipomkaribisha mtoto wake wa kwanza na mkewe, miongo miwili baada ya kufunga ndoa, hatua iliyowafurahisha wengi.
Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi ya Heart Team Africa Foundation iliyo chini ya Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), Mussa Aza…
Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi ya Heart Team Africa Foundation iliyo chini ya Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), Mussa Azan Zungu amesema Serikali inachangia asilimia 70 ya gharama…
Tanzania notes good progress in the rehabilitation of the MV Liemba ship
KIGOMA: THE Deputy Minister for Transport, David Kihenzile, has confirmed progress on the rehabilitation of the MV Liemba ship in Kigoma Region, saying its works are 55 percent complete. Kihenzile…
Mbunge ahoji kusuasua kwa ujenzi wa barabara Njombe
Mbunge wa Viti Maalumu (Chaumma) Mkoa wa Njombe, Sigrada Mligo amehoji kusuasua kwa ujenzi wa...
Tanzania, World Bank seek to help farmersβ access to agricultural loans, training
DODOMA: THE Permanent Secretary in the Ministry of Agriculture, Gerald Mweli, has met and held talks with the World Bank Manager for Food and Agriculture, Frauke Jongbluth, at his Mtumba…
Watuhumiwa watatu wamekamatwa katika Kata ya Lengijave mkoani Arusha wakidaiwa kuhusika na jaribio la kutorosha punda 21 kwenda …
Watuhumiwa watatu wamekamatwa katika Kata ya Lengijave mkoani Arusha wakidaiwa kuhusika na jaribio la kutorosha punda 21 kwenda nchi jirani bila kibali . Tukio hilo limebainika Februari 20, 2026 kufuatia…
PM envisions completion of new education curriculum by 2028
MOSHI: PRIME Minister Mwigulu Nchemba has emphasized preparations for the implementation of a new education curriculum, set to be fully rolled out starting in 2028. The new curriculum will make…
Watumishi watatu Rungwe wafukuzwa kazi kwa utoro
Watumishi watatu wa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe, Mkoa wa Mbeya, wamefukuzwa kazi kwa tuhuma...
#HABARI: Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imeeleza kuridhishwa na kuimarika kwa hali ya nishati nchini, ambapo sas…
#HABARI: Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imeeleza kuridhishwa na kuimarika kwa hali ya nishati nchini, ambapo sasa uwezo wa uzalishaji umefikia megawati 4,400 dhidi ya mahitaji…
Mashariki mwa DRC: Magari yaliyobeba vifaa vya kibinadamu yashambuliwa katika eneo la Rutshuru
Nchini DRC, lori la MSF lililobeba vifaa vya matibabu limeshambuliwa mnamo Februari 18, 2026, na watu wenye silaha. Shambulio hilo lilitokea Mayi ya Moto, katika eneo la Rutshuru (mashariki mwa…
Wanawake Mbozi watishia mgomo wa kubeba mimba
Wanawake wa Kijiji cha Kilimampimbi, Wilaya ya Mbozi mkoani Songwe, wametangaza kususia kubeba...
#HABARI: Baraza la Ushindani Tanzania (FCT) limehimizwa kuziwezesha mamlaka zake za udhibiti kwa kuzipatia rasilimali watu na fe…
#HABARI: Baraza la Ushindani Tanzania (FCT) limehimizwa kuziwezesha mamlaka zake za udhibiti kwa kuzipatia rasilimali watu na fedha za kutosha ili kuongeza ufanisi katika kutoa elimu kwa umma. Katibu wa…
Mahakama Kuu yaamua baadhi ya ushuru uliowekwa na Donald Trump kuwa kinyume cha sheria
Mahakama ya juu zaidi nchini Marekani imeamua kwamba rais wa Marekani alizidi mamlaka yake ya kikatiba kwa kuweka ushuru kwa karibu bidhaa zote zinazoingia nchini Marekani. Imechapishwa: 20/02/2026 – 16:41…