“Tulikuwa tunatafuta watoto wetu gizani” – Simanzi baada ya wanafunzi 16 kufa kwenye moto Kenya
Wanafunzi 16 wamethibitika kufariki baada ya moto mkubwa kuzuka katika bweni la shule hiyo usiku wa kuamkia Alhamisi, Mei 28, 2026, huku wengine wakijeruhiwa walipokuwa wakijaribu kujiokoa kupitia madirishani au…