Gaza ni eneo hatari la mapigano kwa mujibu wa jeshi la IsraelGaza ni eneo hatari la mapigano kwa mujibu wa jeshi la Israel

Jeshi la Israel limeutangaza mji wa Gaza kuwa “eneo hatari la mapigano”, saa chache kabla halijaanza kutekeleza operesheni kubwa za kijeshi kuudhibiti mji wa Gaza ambao ndio mkubwa zaidi kwenye eneo la Palestina.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *