Abbas Araghchi, Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, amepinga vikali juhudi za Uingereza, Ufaransa na Ujerumani (E3) za kurejesha vikwazo vya Umoja wa Mataifa vilivyofutwa chini ya Azimio 2231 la mwaka 2015, akitaja hatua hiyo kuwa “batili na isiyo na athari.”
BONYEZA HAPA USOME HABARI KAMILI
