Iran yalaani vikali hatua ya E3 kutekeleza "snapback", yasema haina uhalali kisheriaIran yalaani vikali hatua ya E3 kutekeleza "snapback", yasema haina uhalali kisheria



Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali uamuzi uliochukuliwa na Ufaransa, Ujerumani na Uingereza siku ya Alkhamisi wa kuanzisha utaratibu wa “snapback” wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa wa kurejesha papo kwa papo vikwazo vya baraza hilo dhidi yake kutokana na mpango wake wa nyuklia.



BONYEZA HAPA USOME HABARI KAMILI

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *