Uchunguzi nchini Kenya kuhusu vifo vinavyoshukiwa kutekelezwa na wafuasi wa kikundi cha Kikristo chenye misimamo mikali katika kaunti ya Kilifi ulichukua mkondo wa kutisha siku ya Alhamisi, baada ya polisi kufukua miili mingine saba katika kijiji cha Kwa Binzaro.
BONYEZA HAPA USOME HABARI KAMILI
