Polisi Kenya wagundua miili zaidi ya waliouawa na pote la KikristoPolisi Kenya wagundua miili zaidi ya waliouawa na pote la Kikristo



Uchunguzi nchini Kenya kuhusu vifo vinavyoshukiwa kutekelezwa na wafuasi wa kikundi cha Kikristo chenye misimamo mikali katika kaunti ya Kilifi ulichukua mkondo wa kutisha siku ya Alhamisi, baada ya polisi kufukua miili mingine saba katika kijiji cha Kwa Binzaro.



BONYEZA HAPA USOME HABARI KAMILI

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *