02.09.20252 Septemba 2025 Mgombea mwenza wa Chama tawala nchini Tanzania, CCM Dkt. Emmanuel Nchimbi amemtaka mwanasiasa aliyeenguliwa kwenye nafasi ya kugombea urais kupitia chama cha ACt-Wazalendo Luhaga Mpina, kurejea mara moja CCM. https://p.dw.com/p/4ztWg Post navigation Rwanda yaidhinisha sheria ya mama mbeba mimba Xi awakaribisha ‘rafiki wa enzi’ Putin, Kim Jong Un Beijing