Maelfu ya Waindonesia waliingia barabarani katika maandamano ya kitaifa ya kupinga marupurupu makubwa kwa wabunge ambayo baadaye yaligeuka kuwa hasira kali ya umma dhidi ya polisi.

Machafuko hayo yalimlazimu Rais wa  Indonesia Prabowo Subianto kubadili msimamo wake na kuchukua hatua ya kupunguza marupurupu ya wabunge lakini hatua hiyo haijafanikiwa kutuliza hasira ya umma.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *