h

Chanzo cha picha, Getty Images

Maelezo ya picha, Anguilla ni eneo la mbali la Uingereza linayojulikana kwa fukwe zake safi

Huko nyuma katika miaka ya 1980 wakati mtandao ulikuwa bado mchanga, nchi zilikuwa zikikabidhiwa anwani zao za kipekee za tovuti ili kuvinjari ulimwengu huu mpya wa mtandaoni. Kama vile .us kwa Marekani au .uk kwa Uingereza.

Hatimaye, karibu kila nchi na eneo lilikuwa na anuani yake kwa misingi ya jina lake la Kiingereza au lugha yake. Hii ilijumuisha kisiwa kidogo cha Carribean cha Anguilla, ambacho kilipata anwani .ai.

Bila kujua Anguilla wakati huo, hii ingekuwa bahatinasibu yake ya baadaye.

Kutokana na kuongezeka kwa kasi kwa Akili Mnemba (AI), makampuni na watu binafsi zaidi na zaidi wanalipa Anguilla, iliyo chini ya Uingereza, ili kusajili tovuti mpya kwa kitambulisho cha neno .ai.



Source link

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *