Wachunguzi wa Umoja wa Mataifa wamesema wapiganaji wa RSF wametekeleza vitendo vya uhalifu dhidi ya binadamu katika mapigano ya wenyewe kwa wenyewe yanayoendelea nchini Sudan hasa katika mji wa El-Fasher Magahribi mwa Darfur.

Wachunguzi wa Umoja wa Mataifa wamesema wapiganaji wa RSF wametekeleza vitendo vya uhalifu dhidi ya binadamu katika mapigano ya wenyewe kwa wenyewe yanayoendelea nchini Sudan hasa katika mji wa El-Fasher Magahribi mwa Darfur.