Jean-Pierre Lacroix athibitisha uungwaji mkono wa UN kwa mchakato wa amani nchini DRCJean-Pierre Lacroix athibitisha uungwaji mkono wa UN kwa mchakato wa amani nchini DRC

Akihutubia wanahabari siku ya Jumapili, Septemba 7, mjini Beni (Kivu Kaskazini), Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa anayehusika na Operesheni za Amani Jean-Pierre Lacroix amebainisha dhamira ya Umoja wa Mataifa ya kuunga mkono juhudi mbalimbali za kidiplomasia zinazofanywa kurejesha amani nchini DRC, kulingana na Radio OKAPI.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *