Kansela wa Ujerumani akosoa mashambulizi ya Israel dhidi ya QatarKansela wa Ujerumani akosoa mashambulizi ya Israel dhidi ya Qatar



Friedrich Merz Kansela wa Ujerumani, amekosoa vikali mashambulizi ya utawala wa Israel dhidi ya Doha, Qatar na kutangaza kuwa, Berlin inasubiri matokeo ya mazungumzo na washirika wa Ulaya kuhusu kususia utawala wa Israel.



BONYEZA HAPA KUSOMA HABARI KAMILI

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *