Kikao cha dharura cha mataifa ya Kiarabu na Kiislamu kufanyika Qatar kujadili mashambulio ya IsraelKikao cha dharura cha mataifa ya Kiarabu na Kiislamu kufanyika Qatar kujadili mashambulio ya Israel



Mji mkuu wa Qatar Doha utakuwa mwenyeji wa mkutano wa dharura wa kilele wa mataifa ya Kiarabu na Kiislamu Jumapili na Jumatatu ijayo kuchunguza mashambulizi ya Wazayuni dhidi ya nchi hiyo ya Kiarabu yaliyolenga makao ya viongozi wa HAMAS.



BONYEZA HAPA KUSOMA HABARI KAMILI

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *