Idadi ya wafanyakazi wa misaada waliotekwa nyara nchini Sudan Kusini imeongezeka zaidi ya mara mbili mwaka huu. Takwimu hii imetolewa na maafisa wawili waandamizi wa masuala ya kibinadamu wanaofanya kazi katika makundi ya kimataifa.
BONYEZA HAPA KUSOMA HABARI KAMILI
