Waziri Mkuu wa Qatar Mohammed bin Abdulrahman bin Jassim Al-Thani amelaani mashambulizi ya juzi ya Israel dhidi ya Doha na kuyataja kuwa ni “ugaidi wa kiserikali,”. Amesema kuwa Waziri Mkuu wa utawala wa Israel Benjamin Netanyahu anapasa “kufikishwa mbele ya sheria.”
BONYEZA HAPA KUSOMA HABARI KAMILI
