Mashambulio matatu yaliyotekelezwa na makundi ya kijihadi nchini Burkina Faso, tangu mwezi Mei, yamesababisha vifo vya watu karibu 50, kwa mujibu wa ripoti za Shirika la Human Rights Watch.

Mashambulio matatu yaliyotekelezwa na makundi ya kijihadi nchini Burkina Faso, tangu mwezi Mei, yamesababisha vifo vya watu karibu 50, kwa mujibu wa ripoti za Shirika la Human Rights Watch.