Familia za mateka wa Israel wanaoshikiliwa na Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS kwa mara nyingine tena zimemtuhumu Benjamin Netanyahu Waziri Mkuu wa utawala ghasibu wa Israel kuwa kikwazo cha kufikiwa makubaliano ya kuachiliwa ndugu zao.
BONYEZA HAPA KUSOMA HABARI KAMILI
