Familia za mateka: Netanyahu ndiye kikwazo cha kuwarudisha mateka nyumbaniFamilia za mateka: Netanyahu ndiye kikwazo cha kuwarudisha mateka nyumbani



Familia za mateka wa Israel wanaoshikiliwa na Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS kwa mara nyingine tena zimemtuhumu Benjamin Netanyahu Waziri Mkuu wa utawala ghasibu wa Israel kuwa kikwazo cha kufikiwa makubaliano ya kuachiliwa ndugu zao.



BONYEZA HAPA KUSOMA HABARI KAMILI

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *