Mawaziri wawili wa Israel walio na siasa kali za mrengo wa kulia wametoa wito wa kunyakuliwa kwa Ukingo wa Magharibi unaokaliwa na Israel kufuatia tangazo la Uingereza, Canada na Australia kulitambua taifa la Palestina. Post navigation Raia wa Guinea wapiga kura ya maoni kuhusu rasimu ya katiba Uingereza, Australia na Canada zalitambua taifa la Palestina