Ukosefu wa usalama wa chakula hautachunguzwa tena nchini Marekani, serikali ya Marekani imetangaza siku ya Jumamosi, Septemba 20, ikiona hatua hiyo kama ya “ya kisiasa zaidi”.
Serikali ya Marekani yasitisha sensa kuhusu njaa Marekani ikiona kuwa ni ‘hatua ya kisiasa’