Chama tawala Malawi cha Rais Lazarus Chakwera cha Malawi Congress, MCP, kimedai kina ushahidi wa wizi wa kura, wakati ambapo matokeo ya awali yanaashiria kuwa kinashindwa katika uchaguzi mkuu uliofanyika wiki iliyopita. Post navigation Wanawake wajasiriamali wa baharini Zanzibar Msalaba Mwekundu kujadili ukiukwaji wa sheria za kimataifa