DRC: Wabunge kupiga kura kuamua hatima ya Vital KamerheDRC: Wabunge kupiga kura kuamua hatima ya Vital Kamerhe

Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, wabunge baadaye leo Jumatatu wanatarajiwa kupiga kura, kuamua hatima ya Spika Vital Kamerhe, baada ya siku kadhaa za vikao ambavyo vimekuwa vikifanyika kujadili utendakazi wake.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *