Y

Uingereza, Canada na Australia, ambao wote ni washirika wenye nguvu na wa muda mrefu wa Israeli, sasa wamechukua hatua ya kulitambua taifa la Palestina.

Zaidi ya nchi 150 zinalitambua taifa la Palestina lakini kuwepo kwa Uingereza na nchi nyingine katika orodha kunaonekana na wengi kama wakati muhimu.

“Palestina haijawahi kuwa na nguvu duniani kama ilivyo sasa,” anasema Xavier Abu Eid, afisa wa zamani wa Palestina.

Lakini kuna maswali magumu ya kujibu, ikiwa ni pamoja na Palestina ni nini na kuna serikali ya kuitambua?



Source link

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *