Baadhi ya mataifa yamepanga kuitambua Palestina kama nchi huru katika Mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa utakaofanyika jijini New York. Mkutano huo utaongozwa na Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron na Saudi Arabia. Post navigation Uingereza, Canada na Australia watambua Dola la Palestina Kim Jong Un: Korea Kaskazini haikwepi mazungumzo na Trump