Najjat Omar22 Septemba 2025

Utafiti wa Chuo Kikuu cha Sokoine (SUA) Tanzania ulibaini kuwa wanawake huchangia zaidi ya asilimia 78 ya kazi za usindikaji wa samaki, uvuvi mdogomdogo, kutembeza watalii na kilimo cha mwani. Makala ya Wanawake na Maendeleo inawaangazia wanawake wanaojishughulisha na ujasiriamali wa baharini.

https://p.dw.com/p/50tgo

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *