Kombe la Shirikisho Afrika

Kombe la Shirikisho Afrika

Jumapili hii, Oktoba 19, Singida BS watakuwa jijini Bunjumbura katika dimba la Prince Louis Rwagasore wakicheza na Flambeau Du Centre.

Mechi hii itachezwa kuanzia saa 10:00 jioni, na kuruka mbashara kupitia AzamSports4HD.

Je, ni Singida BS ama Flambeau nani kuanza kuonja harufu ya hatua ya makundi?

Kwa kifurushi cha shilingi 28,000 unatazama mchezo huu.

#CAFCC #SingidaBS

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *