KUTOKA ZANZIBAR: Tazama kikosi cha Azam FC, kilitua visiwani Zanzibar kwa ajili ya mchezo wao Kombe la Shirikisho Afrika (CAFCC)...

KUTOKA ZANZIBAR: Tazama kikosi cha Azam FC, kilitua visiwani Zanzibar kwa ajili ya mchezo wao Kombe la Shirikisho Afrika (CAFCC) dhidi ya KMKM.

Mchezo huo utapigwa Oktoba 18, 2025 saa 10:15 jioni katika dimba la New Amaan Complex.

@kawambwajr_ anaeleza zaidi juu ya msafara huo.

#AzamFC

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *