#MechiYaKirafiki: Tarryn Allarakhia, Yahya Zayd na Lusajo Mwaikenda ndio wachezaji waliomkosha ‘Kocha’ @godlisten_muro7 katika m...

#MechiYaKirafiki: Tarryn Allarakhia, Yahya Zayd na Lusajo Mwaikenda ndio wachezaji waliomkosha ‘Kocha’ @godlisten_muro7 katika mchezo wa leo wa kirafiki dhidi ya Iran.

Muro anasema mchezo wa leo unaendelea kumpa fursa zaidi Kocha Hemed Suleimana Ali ‘Morocco’ kuelekea kwenye michuano ya #AFCON2025

FT: Iran 2-0 Tanzania

Ilikuwa LIVE #AzamSports1HD

#MechiYaKirafiki #IranVsTanzania #Iran #Tanzania #IRNTAN

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *