Kombe la Shirikisho Afrika

Kombe la Shirikisho Afrika

Jumamosi, KMKM watakuwa nyumbani dimba la Amaan wakiwakaribisha matajiri wa Chamazi, Azam FC.

Mechi hii itapigwa kuanzia saa 10:15 jioni na kuruka mbashara kupitia AzamSports4HD.

Jumapili, Singida BS watakuwa jijini Bunjumbura katika dimba la Prince Louis Rwagasore wakicheza na Flambeau Du Centre.

Mechi hii itachezwa kuanzia saa 10:00 jioni, na kuruka mbashara kupitia AzamSports4HD.

Kwa kifurushi cha shilingi 28,000 unatazama michezo hii.

#CAFCC #AzamFC #SingidaBS

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *