ZILIZOBAMBA MITANDAONI: Kibonzo cha sokwe wa Mashujaa FC chawakosha watangazaji na wachambuzi wa kipindi cha #Viwanjani

ZILIZOBAMBA MITANDAONI: Kibonzo cha sokwe wa Mashujaa FC chawakosha watangazaji na wachambuzi wa kipindi cha #Viwanjani.

Ni kuelekea mchezo wa kesho wa NBC Premier League dhidi ya Pamba Jiji na wenyeji wao hao wajibu mapigo.

Ni #Zilizobamba mitandaoni ya #Viwanjani

#Viwanjani

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *