“Mwajiri yoyote ambaye hatotekeleza agizo la serikali la kuongeza kima cha chini cha mshahara, wafanyakazi wanaweza wakamshtaki katika mamlaka husika na jambo hili litatekelezwa hata kwa wale wasio na mkataba…,” – Msikilize Mjumbe wa bodi ya Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi, John Vahaye akielezea hoja hii kiundani.

✍Juliana James
Mhariri | @claud_jm

#AzamTVUpdates

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *