21.10.202521 Oktoba 2025 Trump atishia kuiangamiza Hamas ikiwa itakiuka mpango wa amani huko Gaza. Zelensky amesema analenga kununua mifumo ya ulinzi wa anga ya Patriot. Shirika la Amnesty limesema ukandamizaji umeshamiri Tanzania kabla ya uchaguzi wa Oktoba 29. https://p.dw.com/p/52JXP Post navigation Rais wa mpito wa Madagascar amemteua waziri mkuu mpya kufuatia mapinduzi ya kijeshi Ripoti: Mapambano dhidi ya Malaria yashindwa kupiga hatua