21.10.202521 Oktoba 2025 Si picha unazoweza kuziona kila wakati. Kwamba mtu aliyepata kuwa rais wa nchi anaondoka uraia na kwenda gerezani. Lakini hilo limetoka leo Jumanne nchini Ufaransa. Nicolas Sarkozy, rais wa zamani wa nchi hiyo sasa yuko ndani ya kuta nne za gereza. https://p.dw.com/p/52Kth Post navigation Rais Randrianirina wa Madagascar amteua waziri mkuu mpya RSF yashambulia Uwanja wa ndege wa Khartoum wakati kukifanyika maandalizi ya ufunguzi