“….tarehe 29 kesho kutwa tu mwezi huu wa kumi niwaombe tokeni muende mkapige kura, ninayeongea hapa ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa nchi hii, nataka niwaambie maandamano yatakayokuwepo ni ya watu kwenda vituoni kwenda kupiga kura, hakuna maandamano mengine yatakayokuwepo hapa….”-Dkt. Samia Suluhu Hassan – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Powered by #MCHEZOSUPA
JINSI YA KUSHIRIKI MCHEZO SUPA:
–
📱Tuma 1000 kupitia Airtel Money, Tigo Pesa, M – Pesa, Halopesa, kwenda namba ya kampuni 222223 📱kumbukumbu namba ni 777 au weka neno ITV.
#ITVDigital #ITVUpdates #ITVTanzania
#Follow @itvtz @radioonetanzania
@capitaldigitaltanzania