TRA UNITED vs MASHUJAA: Kwanza ni kiu kwa TRA kusaka alama tatu za kwanza dhidi ya mpinzani ambaye hajawahi kupata matokeo mazur...

TRA UNITED vs MASHUJAA: Kwanza ni kiu kwa TRA kusaka alama tatu za kwanza dhidi ya mpinzani ambaye hajawahi kupata matokeo mazuri kwenye uwanja wao”
Mchambuzi wa soka @hinjojr azungumzia ugumu wa mechi ya NBC Premier League kati ya TRA United dhidi ya Mashujaa hapo saa 10:00 jioni.

Hinjo ameongeza kuwa TRA United watakwenda katika mchezo huo wakisaka alama tatu ambazo wameshindwa kuzipata katika mechi zao zilizopita.

Mechi itakuwa LIVE #AzamSports1HD

Imeandikwa na @davidkyamani
Mhariri: @allymufti_tz

#Viwanjani

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *