#HABARI: Jeshi la Polisi mkoani Iringa limesema lipo tayari kutekeleza majukumu yake ya kulinda raia na mali zao huku likiwatoa hofu wananchi kuhusu usalama wao na kuwataka wananchi kutoa ushirikiano wanapohisi ama kuona matukio ya uhalifu kwenye maeneo yao.
Powered by #MCHEZOSUPA
JINSI YA KUSHIRIKI MCHEZO SUPA:
–
📱Tuma 1000 kupitia Airtel Money, Tigo Pesa, M – Pesa, Halopesa, kwenda namba ya kampuni 222223 📱kumbukumbu namba ni 777 au weka neno ITV.
#ITVDigital #ITVUpdates #ITVTanzania
#Follow @itvtz @radioonetanzania
@capitaldigitaltanzania.