Mgombea Gombo Samandito Gombo wa Chama Cha Wananchi (CUF) amewaahidi wazee nchini kupokea mshahara kila mwezi kutoka katika serikali yake iwapo atafanikiwa kushinda kwenye Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025.
#AzamTVUpdates
Mhariri | @moses_kwindi
Mgombea Gombo Samandito Gombo wa Chama Cha Wananchi (CUF) amewaahidi wazee nchini kupokea mshahara kila mwezi kutoka katika serikali yake iwapo atafanikiwa kushinda kwenye Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025.
#AzamTVUpdates
Mhariri | @moses_kwindi