Akiwa njiani kurejea kutoka Oman, Erdogan alisema kundi la Hamas linaheshimu makubaliano hayo, na kwamba Uturuki iko tayari kuunga mkono kikosi kazi kinachopangwa kwa ajili ya Gaza.

Wakati huohuo, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Marco Rubio, alisema hatua nzuri zimepigwa katika utekelezaji wa mpango wa amani wa Marekani kwa Gaza, na kueleza matumaini kwamba mazungumzo hayo yataendelea kuleta matokeo chanya.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *