“Nimesikiliza wagombea kutoka vyama 17, na ninazifahamu sera zao, ila niwatake tu mshiriki zoezi hilo kwa amani, tukikumbuka yale yaliyotokea wakati wa uvamizi wa Idi Amin mwaka 1978,” amesema Sheikh huyo.

Kwa mujibu wa Sheikh Alhad, madhara ya vita hivyo, maarufu kama ‘Vita vya Kagera’, vilikuwa na matatizo makubwa, vikisababisha vifo na majeruhi kwa raia wa Tanzania na Uganda, hivyo ni vyema kuimarisha amani iliyopo nchini Tanzania, hata baada ya kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *