LALIGA kuendelea kushika kasi leo

LALIGA kuendelea kushika kasi leo

Saa 1:30 usiku, Athletic Bilbao watakuwa nyumbani wakiwaalika Getafe.

Mechi hii itaruka mbashara kupitia ZBC2.

Saa 4:00 usiku, Valencia watakuwa uwanja wa nyumbani Mestalla wakiwakaribisha Villarreal.

Mtanange huu utakuwa mbashara kupitia AzamSports4HD.

Kwa kifurushi cha shilingi 28,000 unatazama Laliga

#Azamtvsports

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *