YANG Z | Yanga walimaliza jambo lao jana …

YANG Z | Yanga walimaliza jambo lao jana …. na hivi ndivyo vijana wa #YangZTaifa walivyoitikia wito wa uongozi kuisapoti timu yao ndani ya Dimba la Benjamin Mkapa.

Yanga ikapindua meza, na kutinga hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika kwa mara nyingine.

FT: Yanga SC 2-0 Silver Strikers (Agg: 2-1)

Muda huu, Simba wako dimbani dhidi ya Nsingizini… Je, itakuwaje??

#YangZ #YangZTaifa #YangaSC #CAFCL #YangaSilverStrikers

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *