Israel iliishambulia Qatar ikiwalenga viongozi wa Hamas. Hatua hiyo inahofiwa huenda ikaathiri juhudi za usitishwaji mapigano Gaza. 

Rubio amesema Marekani imekasirishwa na uamuzi wa Israel kuishambulia Qatar lakini sasa ni wakati wa kuangalia kipi kinafuata baada ya shambulizi hilo.

Rubio alipanga ziara ya Israel wiki moja kabla ya mkutano wa kilele wa Umoja wa Mataifa unaoongozwa na Ufaransa ulio na nia ya kuitambua Palestina kama dola huru hatua inayopingwa vikali na serikali ya Netanyahu.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *