Iran na Ulaya kuendelea na mazungumzo ya nyuklia mjini GenevaIran na Ulaya kuendelea na mazungumzo ya nyuklia mjini Geneva



Iran na nchi tatu zenye nguvu za Ulaya – Ujerumani, Ufaransa na Uingereza – zinatazamiwa kuanza tena mazungumzo ya nyuklia huko Geneva, Uswisi siku ya Jumanne, yakiangazia maswala ya nyuklia na uondoaji wa vikwazo.



Source link

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *