Mahakama Kuu ya Kenya yaamuru kusitishwa ujenzi wa 'kanisa la Ruto, katika ikulu zoteMahakama Kuu ya Kenya yaamuru kusitishwa ujenzi wa 'kanisa la Ruto, katika ikulu zote



Mahakama Kuu nchini Kenya imeamuru kusitishwa kwa muda ujenzi wa kanisa la kudumu au jengo lolote la kidini katika majengo ya Ikulu, Nairobi.
Agizo hilo la muda linazuia pia ujenzi kama huo katika Ikulu za Rais zilizoko maeneo mbalimbali nchini humo.



BONYEZA HAPA USOME HABARI KAMILI

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *