Mfalme wa Morocco atoa wito wa kufanyika mageuzi huku vuguvugu la vijana likisitisha maandamano

Vuguvugu la GenZ la Morocco linasema kuwa litasitisha kwa muda maandamano mwishoni mwa juma baada ya wiki mbili za maandamano ya kutaka mageuzi ya afya na elimu.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *