Ndege ya timu ya soka ya Nigeria iliyokuwa inaelekea nyumbani yalazimika kutua kwa dharura

Ndege iliyobeba timu ya Nigeria kutoka Afrika Kusini kuelekea Uyo kwa mechi yao ya mwisho ya kufuzu kwa Kombe la Dunia ililazimika kutua kwa dharura nchini Angola siku ya Jumamosi.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *