Viongozi wa Dunia wakutana Beijing kwa kongamano la kuwawezesha Wanawake

Rais wa China Xi Jinping na mkewe Peng Liyuan wamefungua rasmi mkutano wa Viongozi wa Dunia kuhusu Wanawake kwa kujumuika pamoja na viongozi kutoka maeneo mbalimbali ulimwenguni.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *