Watu wanne wafariki dunia kufuatia majaribio ya vikosi vya usalama kuwatawanya waombolezaji wa Raila

Watu wanne wamefariki dunia jijini Nairobi, Kenya, siku ya Alhamisi baada ya vikosi vya usalama kufyatua risasi na kurusha mabomu ya gesi kuwatawanya maelfu ya watu waliokusanyika kwenye uwanja wa Kasarani kuuaga mwili wa Raila Odinga.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *